Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiwa na Viongozi wa kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi wakati wakikagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Na Amo Blog Shinyanga.
Kamati
ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga imetembelea
na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika kata hiyo ikiwa nisehemu
ya utekelezaji wa ilani.
Mwenyekiti
wa kamati ya Maendeleo ya kata hiyo Mh.Victor Thobias Mmanywa pamoja na Viongozi wa Kamati ya Siasa kata ya Ndembezi wameonyesha kuridhishwa na utekelezaji na
usimamizi wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Kata .
Akitoa Taarifa ya utekelezaji wa Ilani mbele ya kamati ya Siasa ya kata hiyo Diwani wa kata ya Ndembezi Mh.Victor
Thobias Mmanywa amesema kwa ujumla baadhi ya miradi inatekelezwa na
kusimamia Ipasavyo ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo barabara na Elimu ndani ya kata hiyo
Mhe,
Victor Thobias Mmanywa pia amepongeza wadau wamaendeleo wanao unga jitahada za
serikali kwa kutekeleza miradi katika kata hiyo hali inayo ifanya kata ya
Ndembezi kupiga hatua kimaendeleo
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari MazingeDiwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kukagua utekelezaji wa Ilani Shule ya Sekondari Mazinge
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kusoma utekelezaji wa Ilani katika ofisi ya Kata Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kusoma utekelezaji wa Ilani katika ofisi ya Kata
Diwani wa kata ya Ndembezi Mhe. Victor Thobias Mmanywa Akiongoza kamati ya siasa ya kata ya Ndembezi kusoma utekelezaji wa Ilani katika ofisi ya Kata
0 Comments