6/recent/ticker-posts

TIMU YA TANROADS SHINYANGA YATINGA FAINALI KIBABE BAADA YA KUINYUKA TIMU YA UVCCM NGOKOLO KICHAPO CHA GOLI MOJA KWA NUNGE KATIKA MASHINDANO YA DKT. SAMIA CUP


Viongozi wakifatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA

Na Amo Blog Shinyanga

Wakati Mashindano ya Dkt. Samia Cup yakiendelea kutimua vumbi katika viunga mbalimbali katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kumtafuta bingwa atakayeibuka na zawadi mbalimbali katika mashindano hayo,Timu ya Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCC) kata ya Ngokolo imekubali kutolewa kibabe na Timu ya Tanroads (Rangers fc )kutoka Tanroads  katika Mtanange uliopigwa katika uwanja wa Chuo cha walimu Shinyanga (Shy Com) ikiwa ni hatua ya kutafuta timu zitakazo shiriki hatua ya Fainali.

Katika mchezo huo Timu ya UVCCM Ngokolo imeshindwa kutamba mbele yTimu ya Tanroads (Rangers fc ) kutoka Tanroads  baada ya kukubali kufungwa goli moja kwa sifiri na Timu ya Tanroads (Rangers fc katika mashandano hayo huku Tanroads ikipata tiketi ya kwenda kushiriki katika hatua ya fainali.

Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA,  Jackline Isaro, akitazama burudani


Kocha wa timu ya Tanroads (Rangers ) akikochi vijana wake.

Kocha wa timu ya Ngokolo akikochi vijana wake

Viongozi wakifatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Viongozi wakifatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Viongozi wakifatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA

Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Wachezaji wa Timu ya UVCCM Ngokolo Shinyanga
Wachezaji wa Timu ya Tanroads Shinyanga
Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA,
Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA

Kikundi cha hamasa Ngokolo

Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA




Post a Comment

0 Comments