Na Amo Blog Shinyanga.
KAMPUNI ya simu ya Halotel jana imetoa furaha kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Ushirika Moshi Tawi la Kizumbi mkoani
Shinyanga kupitia binanza lake la ‘uni-bang concert’ lililofanyika katika uwanja
wa chuo hicho na kuhudhuriwa na wanafunzi pamoja na Wakufunzi wa chuo hicho.
Bonanza hilo lilipambwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wa
muziki wa kizazi kipya ,Wana mitindo ,pamoja na michezo ya aina mbalimbali kama vile Netiboli,
soka na mingineo.
Akizungumzia kuhusiana na bonanza hilo Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa
wa Shinyanga Frank Mashauri alisema tamasha hilo lina lengo la kuimarisha
uhusiano baina ya Halotel na wanafunzi wa vyuo ndani ya mkoa huo.
‘Toka mtandao wetu umeanza hapa nchini tumejikita katika kuhakikisha
tunaboresha huduma za simu nchini, lakini kwa upekee kabisa tumekuwa tunawapa
wanafunzi huduma bora na nafuu zaidi’ alisema Frank.
Kwa upande wa mchezo wa soka zilicheza timu mbili ambapo ilianza timu
ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza dhidi ya timu ya wanafunzi wa mwaka wa pili na
wa tatu ambapo timu ya mwaka wakwanza iliibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya timu
ya wanafunzi wa mwaka wapili na watatu.
Katika mchezo mwingine , timu ya wanafunzi wa kiume wa mwaka wa kwanza imeifunga
timu ya wanafunzi wa mwaka wa pili na wa tatu magoli 2-1.
Michezo hiyo kwa ujumla imewafurahisha
wanafunzi wengi ambapo pia wanafunzi hao walipata wasaa wa kujiunga na huduma
za mtandao huo wa simu kama vile kununua laini, kujiunga vifurushi na mengineo.
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
Meneja wa Kampuni ya Halotel mkoa wa Shinyanga Frank Mashauri akiwakabidhi zawadi washindi katika bonanza la michezo lililofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la kizumbi Manispaa ya Shinyanga .
0 Comments