Watumishi wa chuo kiku cha Ushirika Moshi Tawi la Kizumbi Manispaa ya Shinyanga wakishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika chuo cha Sayansi Za Afya Kolandoto.
Watumishi wa chuo kiku cha Ushirika Moshi Tawi la Kizumbi Manispaa ya Shinyanga wakishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika chuo cha Sayansi Za Afya Kolandoto.
Na
Amo Blog Shinyanga.
Watumishi chuo kiku cha Ushirika
Moshi Tawi la Kizumbi Manispaa ya Shinyanga wameshiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya
Zanzibar kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wagonjwa wanaoendelea kupata
matibabu wodini katika hospitali ya Kolandoto ,Lengo ikiwa ni kuwafariji na
kuwatia moyo katika maradhi yanayowasumbua.
Pia watumishi hao
wameshiri bonanza lililo andaliwa na chuo cha Sayanzi za afya Kolandoto kwa
lengo la kudumisha umoja na mshikamano baina Taasisi hizo.
Katika bonanza hilo
imechezwa michezo mbalimbali ikiwemo mchezo wa Football, Netball,
Volleyball,Riadha na kukimbiza kuku, ambapo katika michezo hiyo mchezo wa Football
DK 90 zimemalizika kwa Chuo Kikuu cha Ushirika kushinda kwa mikwaju ya penalt
7-6 dhidi ya Timu ya Kolandoto,huku kwa upande wa Netball MoCu wakipata ushindi
wa goli 12-11 dhidi ya Kolandoto,Volleyball Kolandoto wameshinda Set 2 - 1
dhidi ya MoCu,mchezo wa Riadha mshindi ni Lazaro Musa kutoka Kolandoto,
Watumishi wa chuo kiku cha Ushirika Moshi Tawi la Kizumbi Manispaa ya Shinyanga wakishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika chuo cha Sayansi Za Afya Kolandoto.
Watumishi wa chuo kiku cha Ushirika Moshi Tawi la Kizumbi Manispaa ya Shinyanga wakishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika chuo cha Sayansi Za Afya Kolandoto.
Watumishi wa chuo kiku cha Ushirika Moshi Tawi la Kizumbi Manispaa ya Shinyanga wakishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika chuo cha Sayansi Za Afya Kolandoto.
Watumishi wa chuo kiku cha Ushirika Moshi Tawi la Kizumbi Manispaa ya Shinyanga wakishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika chuo cha Sayansi Za Afya Kolandoto.
0 Comments