Kampuni ya Northern Engineering Works
Limited (NEWL) Imeshinda Tuzo katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Usalama na Afya Mahali
Pakazi (OSHA) ya 2024 iliyo fanyika jijini Ausha ambapo kampuni ya Northern Engineering Works Limited (NEWL)
imeshinda tuzo ya Usalama na Afya Mahali Pakazi Mwaka 2024.
Maonyesho ya OSHA yamefanyika Jijini humo ambapo mgeni Rasmi
alikuwa ni Naibu waziri wa Nchi Ofisi ya waziri mkuu Kazi ,ijana, Ajira na watu
wenye ulemavu Patrobas Katambi aliye
mwakilisha waziri Deogratius Ndejembi .
Baada ya zoezi la utoaji wa tuzo hizo Wafanya kazi wa Kampuni ya Northern Engineering Works Limited (NEWL) wameonyesha furaha yao baada ya kushinda tuzo hiyo huku wakieleza kuwa itakuwa ni motisha ya kuendelea kufanya viziri kwa kuimarisha Usalama na Afya mahali pakazi kwa wafanyakazi wao amesema Mr Osmond Lema Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya NEWL baada ya kupokea tuzo hiyo.
0 Comments