Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu kesho anatarajia kushuhudia vita ya Madiwani wawili ambao ni diwani wakata ya Ngokolo Mhe.Victer Mkwizu na Diwani wa Kata ya Ngokolo Mhe.Mussa Elias katika mchezo wa nusu fainali utakao pigwa katika uwanja wa chuo cha Ualimu Shinyanga (SHY COM)
TAZAMA RATIBA YA MASHINDANO YA DR. SAMIA / KATAMBI CUP - 2024
Hatua ya Nusu Fainali
Ijumaa, Agosti 16, 2024
Ngokolo vs Kolandoto - ShyCom
Jumamosi, Agosti 17, 2024
KASHWASA vs Masekelo - ShyCom
Muda wa kuanza mechi zote za Nusu Fainali ni saa 9:30 Alasiri.
0 Comments