6/recent/ticker-posts

Picha : MAHAFALI YA 16 YA KIDATO CHANNE 2024 KOM SEKONDARI YAFANA.... AFISA ELIMU AIMWAGIA SIFA INAVYO UTANGAZA VIZURI MKOA WA SHINYANGA

Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango ameongoza sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom ‘ Kom Secondary’ iliyopo katika eneo la Butengwa katika manispaa ya Shinyanga ambapo jumla ya wanafunzi 131 kati yao wasichana  wavulana  wamehitimu elimu ya kidato cha nne katika shule hiyo.

Mahafali hayo yamefanyika leo Jumamosi Novemba 23,2024 katika viwanja vya shule hiyo na kuhudhuriwa na mamia ya wazazi,wageni waalikwa,wanafunzi na watu mbalimbali wenye mapenzi mema.

Akizungumza wakati wa Mahafali,Mgeni rasmi Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango aliwataka wazazi na walezi kuhakikisha wanawalipia ada watoto wao kwa wakati.

“Nimeambiwa kuna baadhi ya wazazi wanachelewa kulipa ada.Niwakumbushe tu kuwa ukimpeleka mtoto katika shule binafsi nivizuri kuhakikisha unalipa ada,. Elimu ni gharama, hata kwenye shule za serikali ‘ Public Schools’ kuna gharama,kuna nguvu za wananchi wanachangia pia”,alisema Hango.

“Ni muhimu kumpeleka shule mtoto mara tu shule inapofunguliwa,kwani shule ikifunguliwa masomo yanaanza. Usimuweke mtoto nyumbani,anafanya nini nyumbani muda wa shule?,alihoji Hango.

Afisa Elimu huyo alitumia fursa hiyo kuwakumbusha wazazi kuwakatia bima ya afya watoto wao ili kurahisisha matibabu pindi wanapougua.

Hango aliipongeza shule ya Kom kwa mwenendo mzuri kitaaluma na kinidhamu kwani imeendelea kufanya vizuri katika mitihani mbalimbali ngazi na mkoa na taifa. 

Naye Mkurugenzi wa shule ya Kom Sekondari Jackton Koyi ameishukuru serikali kwa ushirikiano ambao imekuwa ikiwapa katika kuhakikisha kuwa shule hiyo inafikia malengo yake.Amesema Kom sekondari tangu kuanzishwa kwake imekuwa daraja la elimu kwa wanafunzi ambao wengi wamekuwa wakiingia kidato cha tano na kujiunga katika vyuo mbalimbali. 

“Naomba wazazi muendelee kutuamini na kuleta wanafunzi katika shule hii ambayo imekuwa ikifanya vizuri katika mitihani mbalimbali”,ameeleza Koyi.

Koyi amesema kuwa Mbali na kuwa na shule ya sekondari Kom,pia kuna shule ya awali na shule ya msingi Kom iliyoanzishwa mwaka 2016 ipo nyuma ya ofisi za KASHWASA umbali wa takribani mita 500 kutoka shule ya sekondari Kom.

Awali akisoma taarifa ya shule mkuu wa shule ya sekondari Kom Grace Mutabilwa, amesema idadi ya wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka huu ni 131.

Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwa katika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi 
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwa katika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi .
Sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom .

Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwa katika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi .
Wahitimu wa mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  wakipokea keki kwa niaba ya wahitimu wengine. 
Mkuu wa shule ya Sekondari Kom, Grace Mutabilwa akitoa taarifa ya shule wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwatunuku vyeti wahitimukatika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi 
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwatunuku vyeti wahitimukatika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi 
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwatunuku vyeti wahitimukatika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi 
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwatunuku vyeti wahitimukatika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi 
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akiwatunuku vyeti wahitimukatika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi 
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akizungumza na wazazi na walezi katika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi 
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Samson Hango akizungumza na wazazi na walezi katika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  akiwa na mkurugenzi wa Shule hiyo Jackton Koyi .

Mkuu wa shule ya Sekondari Kom, Grace Mutabilwa akitoa taarifa ya shule wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.



Walimu wa shule ya Sekondari Kom,wakiburudika wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.


Wazazi na walezi wakipata burudani wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.


Wahitimu wa shule ya Sekondari Kom, wakiburudika wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.

Meneja wa shule ya Sekondari Kom, Magreth Koyi akicheza ngoma za asili wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.
Mkurugenzi wa shule ya Sekondari Kom, Jackton Koyi akitoa neno la salamu wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.
Mkurugenzi wa shule ya Sekondari Kom, Jackton Koyi akitoa neno la salamu wakati wa Mahafali ya 16 kidato cha nne shule ya Sekondari Kom.
Wahitimu wa kidato cha nne 2024 shule ya Sekondari Kom wakisoma Risala.
Wahitimu wa kidato cha nne 2024 shule ya Sekondari Kom wakiwa katika maandamano kuingia ukumbini wakati wa sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom ‘ Kom Secondary’ iliyopo katika eneo la Butengwa katika manispaa ya Shinyanga. Jumla ya wanafunzi 131 wamehitimu elimu ya kidato cha nne katika shule hiyo.

Wahitimu wa kidato cha nne 2024 shule ya Sekondari Kom wakiwa katika maandamano kuingia ukumbini wakati wa sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom ‘ Kom Secondary’ iliyopo katika eneo la Butengwa katika manispaa ya Shinyanga. Jumla ya wanafunzi 131 wamehitimu elimu ya kidato cha nne katika shule hiyo.
Walimu wakishangilia baada ya kupokea keki kutoka kwa whitimu wa kidato cha nne 2024 shule ya Sekondari Kom.











Wahitimu wa kidato cha nne 2024 shule ya Sekondari Kom wakiwa katika maandamano kuingia ukumbini wakati wa sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom ‘ Kom Secondary’ iliyopo katika eneo la Butengwa katika manispaa ya Shinyanga. Jumla ya wanafunzi 131 wamehitimu elimu ya kidato cha nne katika shule hiyo.Wahitimu wa kidato cha nne 2024 shule ya Sekondari Kom wakiwa katika maandamano kuingia ukumbini wakati wa sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom ‘ Kom Secondary’ iliyopo katika eneo la Butengwa katika manispaa ya Shinyanga. Jumla ya wanafunzi 131 wamehitimu elimu ya kidato cha nne katika shule hiyo.









Burudani zikiendelea katika sherehe za mahafali ya 16 kidato cha nne mwaka 2024 shule ya Sekondari Kom  

Post a Comment

0 Comments