6/recent/ticker-posts

EWE MWANACHUO !!! HUU NDIO MDA WA KUENJOY UKIWA NA AKAUNTI YA NMB, TAFAKARI CHUKUA HATUA JIUNGE NA NMB

Umepambana sana, ni muda wa Kuenjoy na NMB mwanachuo Akaunti!

Akaunti hii ni maalumu kwaajili yako kuhakikisha mambo ya mkwanja yanakaa sawa.

Ukiwa na akaunti hii:
️ Rejesho la hadi 30% ya malipo yako kupitia Lipa Mkononi (QR)
️ Nunua muda wa maongezi kupitia NMB mkononi
️ Bima ya Simu Bure, ukitumia NMB Mkononi
️ Mkopo hadi Tsh 1,000,000 bila dhamana kupitia simu
️ Urahisi wa kufanya malipo online bila gharama yoyote
️ Hakuna malipo ya mwezi
️ Na michongo mingine kibao

 Benki ya NMB kupitia kampeni yake iitwayo BONGE LA MPANGO, kuna Mtanzania ambaye atazawadiwa shilingi MILIONI 100 kutokana na kujiwekea pesa kwenye account yake ya NMB ( hiyo ni miongoni mwa zawadi nyingi zitazotolewa December 19 2024 ).

Kampeni ya BONGE LA MPANGO iliyozinduliwa rasmi tarehe 25 September  itaendelea hadi tarehe 19 December mwaka huu ambapo kigezo mojawapo ni kuweka pesa kima cha chini kikiwa shilingi laki moja ( iwe kwa mkupuo au kidogokidogo kufikia kiwango hicho) ambapo Mshindi wa kwanza atajishindia shilingi MILIONI 100 na Wateja 10 kila wiki wakishinda shilingi laki moja kila mmoja, Wateja wengine wanne wakishinda shilingi milioni 5 kila mwezi na wengine wakishinda friji ya milango miwili, simu, na jiko la gesi.

Kumbuka Kampeni hii ya  BONGE LA MPANGO inatoa fursa kwa Wajasiriamali na Wakulima kujishindia zawadi ambazo zitaimarisha shughuli zao za kiuchumi kama vile Trekta pamoja na Pikipiki za Toyo zenye matairi matatu.

Post a Comment

0 Comments