Mhe.mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha akizungumza na wadau wakodi na kuwasisitiza juu ya umuhimu wa kulipa kodi kwa hiari kabla ya kuanza zoezi la kukabidhi tuzo.
Na Amo Blog Shinyanga.

Mhe.mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha akiendelea na zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi.
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania mkoa wa Shinyanga Emmanweli Maro akiendelea na zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi.


Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania mkoa wa Shinyanga Emmanweli Maro akiendelea na zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi.


Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania mkoa wa Shinyanga Emmanweli Maro akiendelea na zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi.
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania mkoa wa Shinyanga Emmanweli Maro akiendelea na zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi.
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa kodi Kahama Warioba Kanire akikabidhi tuzo kwa washindi.


Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa kodi Kahama Warioba Kanire akikabidhi tuzo kwa washindi.
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa kodi Kahama Warioba Kanire akimkabidhi tuzo Mhe.Mkuu wawilaya ya Kahama Mboni Mhita kwa ushirikiano mzuri anao toa kwa TRA.
Mhe.Mkuu wa wilaya ya Kahama Mboni Mhita akiendelea na zoezi la kabidhi tuzo kwa washindi
Mwakilishi wa kamishina mkuu wa mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Emmanwel Nko akiendelea na Zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi


Mwakilishi wa kamishina mkuu wa mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Emmanwel Nko akiendelea na Zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi


Mwakilishi wa kamishina mkuu wa mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Emmanwel Nko akiendelea na Zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi
Katibu tawala wilaya ya Kahama Glory Abisalum akiendelea na zoezi la kukabidhi tuzo kwa washindi .
Mc Amos John (MC Mzungu mweusi akimkaribisha mgeni rasmi mhe.Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha kwa ajili ya zoezi la utoaji wa tuzo kwa washindi.
0 Comments