6/recent/ticker-posts

KAMATI YA BUNGE YASHAURI MIKATABA ITAKAYOSAINIWA ITAJE MUDA MAALUMU WA UTEKELEZAJI

CHANZO MALUNDE BLOG

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeshauri mikataba ya utekelezaji itakayosainiwa itaje muda maalumu wa utekelezaji wa miradi ambao utazingatia maslahi mapana ya nchi ya Tanzania.



Ushauri huo umetolewa leo Jumamosi Juni 10, 2023 bungeni Dodoma na mwenyekiti wa kamati hiyo, Selemani Kakoso wakati akitoa maoni ya kamati kuhusu azimio la Bunge kuridhia makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari Tanzania.


“Kamati inasisitiza kwamba uhai wa mikataba ya utekelezaji itakayosainiwa itaje muda maalumu wa utekelezaji wa miradi ambao utazingatia maslahi mapana ya nchi.

Post a Comment

0 Comments