6/recent/ticker-posts

NMB TAWI LA MANONGA SHINYANGA WASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO ,UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI DON BOSCO WAIPONGEZA NMB KWA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI NA JAMII



Afisa Masoko wa Benki ya NMB Tawi la Manonga John Kimaro ameshiriki bonanza la michezo katika Shule ya sekondari Don Bosco iliyopo halmashauri ya Shinyanga mkoani humo na kutoa elimu kwa wanafunzi na walimu juu ya huduma bora zinazo tolewa na NMB ikiwemo NMB Pesa Akaunti huku akiwasa wanafunzi na walimu kuendelea kuteleza kidijitali wakiwa na Akaunti ya NMB.

Kimaro ameeleza kuwa NMB Pesa Akaunt ni Akaunti ya kidijitali na ya haraka zaidi ambayo ukiwa na kitambulisho chako na shilingi elfu moja (1000) unafungua akaunti , huku akisisitiza kuwa ukiwa na Akaunti ya NMB Unaweza ukapata manufaa ya fuatayo.

✅Mikopo isiyo na dhamana

✅Kutoa, kuweka au kutuma pesa

✅Kulipia bili

✅Kubwa zaidi; hakuna ada za kila mwezi

Yote kupitia simu yako tu (kitochi au simu janja).













Post a Comment

0 Comments