Na Amo Blog Shinyanga .
Je ? Wewe ni Mwanachama Kindakindaki wa Timu ya Simba ? Uongozi wa Benki ya Nmb Kanda ya Magharibi unakukaribisha wewe mwanachama wa timu ya Simba kufika Benki ya NMB Tawi lolote lililopo karibu yako ili uchukue kadi ya uanachama ambayo itakuwezesha kulipa ada, na kuendelea kufurahia huduma bora za kibenki ukiwa na kadi yako hiyo
hiyo kabla ya Msimu mpya wa Ligi kuanza.
Benki ya NMB tunasema anza msimu mpya waligi ukiwa na
kadi yako ya uanachama kupitia matawi yetu yote ya NMB
yaliyopo karibu yako ili #Usiachwe nyuma .(NMB Karibu yako)
0 Comments