Na Amo Blog Shinyanga .
Je ? Wewe ni Mwanachama Kindakindaki wa Timu ya Yanga ? Uongozi wa Benki ya Nmb Kanda ya Magharibi unakukaribisha wewe mwanachama wa timu ya Yanga kufika Benki ya NMB Tawi lolote lililopo karibu yako ili uchukue kadi ya
uanachama ambayo itakuwezesha kulipa ada, na kuendelea kufurahia huduma bora za kibenki ukiwa na kadi yako
hiyo hiyo kabla ya Msimu mpya wa Ligi kuanza.
Benki ya NMB tunasema anza msimu mpya wa ligi ukiwa na
kadi yako ya uanachama kupitia matawi yetu yote ya NMB yaliyopo karibu yako ili #Usiachwe nyuma .(NMB Karibu yako)
0 Comments