6/recent/ticker-posts

JE? UKO TAYARI USIPANGE KUKOSA KATIKA MDAHALO WA FUNGUKA TUONGEE BIASHARA SHINYANGA UTAKAOFANYIKA SEPTEMBA 27 ZIMAMOTO


Funguka Tuongee Biashara #Shinyanga

Wanashinyanga wako tayari Wewe je?

Usikose Mdahalo huu wa Wazi tutakaozungumza kuhusu Biashara na fursa mkoani Shinyanga katika Viwanja vya Zimamoto.

Ni Ijumaa ya Sept 27, 2024

Kama unahitaji kudhamini au kutushika mkono katika Mdahalo wa #TuongeeBiasharaShinyanga wasiliana na Ofisi ya Masoko Radio Kwizera kwa namba 0743 872 983 au 0758 608 196 au Barua pepe marketing.radiokwizera@gmail.com

#radikwizera #2024funguka

Post a Comment

0 Comments