6/recent/ticker-posts

BANDOLA SALUMU ACHANGIA SHILINGI MILIONI 1000,000 UJENZI WA MADRASA NDEMBEZI SHINYANGA

Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

Na Amo Blog Shinyanga

Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum amechangia kiasi cha shilingi milioni moja kwa ajili ya ujenzi wa jengo la madrasa ,Jengo linalo jengwa katika mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi Halmashauri ya  Manispaa ya Shinyanga.

Bandola ametoa mchango huo katika  harambee ya kuchangia ujenzi wa jengo la madrasa ikiwa nisehemu ya kuandaa mazingira mazuri ya kuwafundishia watoto elimu ya dini.

Pia Bandola amewasii wadau wengine wamaendeleo kujitoa kuchangia ujenzi wa jengo hilo ili liweze kukamilika na  watoto wapate sehemu ya kujifunzia maandiko matakatifu.

Katika Harambee hiyo zaidi ya Shilingi Milioni 7 zimechangwa na waumini pamoja na wadau mbalimbali kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa jengo hilo ambalo kwa sasa lipo usawa wa linta.
Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 

Shekh MSafari Kitumbo akiwa na katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum wakichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 

Mfanya biashara Rajabu Moshi akishiriki katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Madrasa Ndembezi.
Shaban Abdalla akishiriki katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Madrasa Ndembezi.










Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

 Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi.

Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 


Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 
Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 
Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 
Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 
Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 
Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 
Katibu wa Elimu , Malezi na Mazingira Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Bandola Salum akichangia ujenzi wa madrasa Ndembezi. 











Post a Comment

0 Comments