6/recent/ticker-posts

RPC MAGOMI AKABIDHI IFTAR KWA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KISHAPU,WAUMINI WASHUKURU KWA SADAKA WAAHIDI KUENDELEA KUMUOMBEA

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akiwa na askari wa jeshi hilo wakati wakukabidhi Iftar kwa waumini wa dini ya kiislam katika msikiti wa Mayanji Kata ya Ukenyenge wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga.

Na Amo Blog Shinyanga 

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi amekabidhi Iftar kwa waumini wa dini ya kiislamu katika msikiti wa Mayanji Kata ya Ukenyenge Halmasahuri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya sadaka yake kwa waumini wadini hiyo walio funga mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan

Kamanda Magomi amekabidhi Iftar hiyo leo Aprili 6,2024 alipo tembelea katika Msikiti wa Mayanji kwa lengo la kutoa sadaka yake kwa waumini wadini ya kiislam walio funga katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan

Aidha Kamanda Magomi ametumia nafasi hiyo kuwatakia Idd njema Waislam wote walio funga katika wilaya ya Kishapu na mkoa wa Shinyanga kwa ujumla huku akiwasii kusherekea kwa Amani na utulivu wa kati wa sikukuu za idd na kueleza kuwa jeshi la polisi limejipanga kuendelea kuimalisha ulinzi na usalama katika kipindi cha sikukuu ya Idd ili waumini waweze kusherekea sikukuu vizuri.

Pia Kamanda Magomi amekabidhi Trip 3 za Kokoto zenye thamani ya Zaidi ya Shilingi laki tano kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya Mayanji pamoja na Tofali elfu moja kwa ajili ya ujenzi wa jiko katika Shule ya Msingi Mayanji iliyopo katika kijiji cha mayanji kata ya ukenyenge halmashauri ya Wilaya ya Kisgapu mkoani Shinyanga.

Kwa upande wake Shekhe Othuman Ndamo ambaye ni mwenyekiti wa msikiti wa Mayanji akizungumza kwa niaba ya waumini wa Msikiti amemshukuru kamanda Magomi kwa kuguswa na kutoa sadaka hiyo na kuahidi kumuombea katika utendaji kazi wake wakuwatumikia wananchi kwa kuimalisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao.\Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akikabidhi Iftar kwa waumini wa Dini ya kiislam Ukenyenge Kishapu.Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akitoa elimu kwa wananchi wa kijiji cha Mayanji juu ya umuhimu wakutoa taarifa za uhalifu na wahalifu kwenye maeneo yao pamoja na kutoa onyo juu ya vitendo vya kujichukulia sheria mkononi.

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akitembelea jengo la zahanati na kutoa mchango wa Shilingi laki Tano na elfu Arobaini kwa mwenyekiti wa kijiji.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akitoa elimu kwa wananchi wa kijiji cha Mayanji juu ya umuhimu wakutoa taarifa za uhalifu na wahalifu kwenye maeneo yao pamoja na kutoa onyo juu ya vitendo vya kujichukulia sheria mkononi.

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akitoa elimu kwa wananchi wa kijiji cha Mayanji juu ya umuhimu wakutoa taarifa za uhalifu na wahalifu kwenye maeneo yao pamoja na kutoa onyo juu ya vitendo vya kujichukulia sheria mkononi.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Janeth Magomi akitoa elimu kwa wananchi wa kijiji cha Mayanji juu ya umuhimu wakutoa taarifa za uhalifu na wahalifu kwenye maeneo yao pamoja na kutoa onyo juu ya vitendo vya kujichukulia sheria mkononi.

Post a Comment

0 Comments