6/recent/ticker-posts

BABA ASKOFU ELIBARIKI KUTTA KUJENGA UWANJA WAKISASA JIJI LA DODOMA TANZANIA

ASKOFU Elibariki Kutta wa Kanisa la Kiaskofu la Anglikana Jimbo la Tanzania anayeishi nchini marekani (USA) ameahidi kuunga mkono  juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Sekta ya Michezo kwa kujenga uwanja mkubwa wa kisasa katika kata ya Mlali Wilayani Kongwa mkoani Dodoma ikiwa nisehemu ya kuinua kiwango cha michezo kwa kuboresha miundombinu ya viwanja vya michezo nchini.





 

Post a Comment

0 Comments