6/recent/ticker-posts

JE ? UNAWAZA NIWAPI MWANAO ATAPATA ELIMU BORA !! ? KOM SECONDARY NDILO JIBU LAKO BADO HAUJACHELEWA TUPIGIE SIMU NA.+255 0767 483 046

Shule ya Sekondari KOM liyopo katika Manispaa ya Shinyanga Mkoani Shinyanga ni shule inayosifika vizuri kitaaluma kutokana na kuendelea kufanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani.

Shule ya Sekondari Kom tunazo nafasi za kuhamia Kidato cha kwanza na Kidato cha tatu.
Lengo la Kom Sekondari Tunalenga kutoa elimu bora kwa vijana wote wenye kiu na elimu bora, kwani tunayo mazingira mazuri ya kujifunzia yanayomwezesha mwanafunzi kujifunza vizuri na hatimaye kuweza kukabiliana na changamoto katika maisha yake ya baadaye na Taifa Kiujumla.
    Page · Private School
    Butengwa, Old Shinyanga, Tanzania
    0767 483 046
    komsecondary@komclass.com
    Kwa Mawasiliano zaidi KOM Secondary School

+255 767 618 213
+255 768 105 820
+255 767 483 046

NYOTE MNAKARIBISHWA

TAZAMA PICHA ZA BAADHI YA MAJENGO NA OFISI YA SHULE.

Post a Comment

0 Comments