6/recent/ticker-posts

Picha :NAIBU MEYA MANISPAA YA SHINYANGA ZAMDA ASHIRIKI MAOMBI YA WANAWAKE NA WATOTO DUNIANI KANISA LA ANGLIKANA NDALA

.Na Amo Blog Shinyanga

Maombezi ya wanawake na watoto duniani katika Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na Umoja wa Wanawake kutoka Makanisa ya Kiinjili Tanzania (CCT ) Tawi la Ndala , yamefanyika leo Ijumaa Machi 1,2024 katika kanisa la Anglikana Ndala na kuongozwa na Naibu Meya wa Manispaa ya Shinyanga Zamda Shabani .  

Maombezi ya wanawake duniani CCT Tawi la Ndala yamehudhuriwa na wanawake kutoka kwenye makanisa mbalimbali ya Kikristo ya Shinyanga, ambapo mgeni Rasmi alikuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Shinyanga Zamda Shabani .




















































Post a Comment

0 Comments